Header Ads


KAMPUNI YA SARUJI TANGA CEMENT IMETOA MIFUKO 660 YENYE THAMANI YA MILIONI 8.3 KUCHANGIA HUDUMA ZA JAMII

Mkuu wa kitengo cha mahusiano MTANGA NURU akitoa maelezo kuhusu zoezi hilo


Mkuu wa kitengo cha mahusiano MTANGA NURU akikabidhi mifuko ya saruji kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya korogwe mji Bw. JUMANNE SHAURI kwaajili ya ujenzi wa kituo cha afya

ELIZABETH NYEMA Mganga mkuu halmashauri ya Korogwe mji akitoa neno la shukrani baada ya kukbidhiwa saruji hiyo.

CATHERINE FREEDOM MWAKATUNDU Afisa mtendaji kata ya Mlalo akipokea saruji kwaajili ya ujenzi wa maabara katika shule ya NGAZI SEKONDARI Mlalo.



No comments:

Powered by Blogger.