MAVETERAN WA MUHEZA NA DAR WAFARIJI WAGONJWA HOSPITALI YA TEULE WILAYANI MUHEZA
| ZUBER HASSAN MENEJA WA VETERAN MUHEZA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI MSAADA KWA WAGONJWA TEULE HOSPITAL MUHEZA |
| MCHEZAJI MKONGWE ALLY YUSUPH "TIGANA""AKIZUNGUMZA WAKATI WA KUTOA MSAADA KWA WAGONJWA HOSPITALI TEULE MUHEZA |
| HARUNA MOSHI BOBAN AKIZUNGUMZA NA WAABDISHI WA HABARI WAKATI HAFLA YA KUTOA ZAWADI KWA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI TEULE MUHEZA |
| MGANGA MFAWIDHI HOSPITALI YA TEULE DKT OBRAY MAONGA (KUSHOTO)AKIPOKEA KATONI YA SABUNI KUTOKA KWA MENEJA WA MUHEZA VETERAN ZUBER HASSAN (KULIA) |
| BAADHI YA WAGONJWA WAKIPEWA ZAWADI NA WACHEZAJI WA VETERANA IKIWA NI KUSHEHEKEA SIKUKUU YA PASAKA |
| WACEZAJI WA TIMU ZA VETERAN ZA MUHEZA NA DAR WAKITOA ZAWADI KWA WAGONJWA HOSPITALI TEULE MUHEZA |

No comments: