Header Ads


PICHA MBALI MBALI ZA KATIBU MTENDAJI WA BARAZA LA HABARI TANZANIA (MCT) BW. KAJUBI MKAJANGA ALIPO TEMBELEA VITUO MBALI MBALI VYA REDIO JIJINI TANGA

Katibu mtendaji Baraza La Habari Tanzania bw. KAJUBI MKAJANGA akitembelea radio marifafa jijini Tanga

Mwenyekiti wa Tanga Press Club Bw. Hassan Hashim akitoa mwaelezo kwa katibu mtendaji wa baraza la habari Tanzania Bw.. Kajubi Mkajnga wakati wa ziara yake jijini Tanga.

 katibu mtendaji wa baraza la habari Tanzania Bw.. Kajubi Mkajnga akikabidhi katiba kwa Meneja kituo cha Maarifa FM Bw. Abubakar Amin


Meneja wa radio Noor FM akitoa maelezo kwa katibu mtendaji wa baraza la habari Tanzania Bw.. Kajubi Mkajnga







 katibu mtendaji wa baraza la habari Tanzania Bw.. Kajubi Mkajnga akikabidhi katiba kwa Meneja kituo cha Pangani Fm.

Picha ya pamoja   katibu mtendaji wa baraza la habari Tanzania Bw. Kajubi Mkajnga na watangazaji wa kituo cha Pangani FM






No comments:

Powered by Blogger.