Header Ads


MATUKIO MBALIMBALI KATIKA TUZO YA UANDISHI WA KISHUJAA NA UTUMISHI ULIOTUKUKA YA DAUDI MWANGOSI


Abubakar Karsan: Mkurugenzi mtendaji wa umoja wa muungano wa klabu za waandishi wa habari Tanzania(UTPC)
Deogratius Nsokolo:Rais wa umoja wa muungano wa klabu za waandishi wa habari Tanzania (UTPC)
Jenerali Ulimwengu:Mwenyekiti wa jopo la majaji wa tuzo ya Daud Mwangosi


 Washiriki wa mkutano wa tuzo ya uandishi wa kishujaa na utumishi uliotukuka ya Daudi Mwangosi 




Ernest Sungura: Mkurugenzi wa Tanzania Media Foundation (TMF)
Ernest Sungura: Mkurugenzi wa Tanzania Media Foundation (TMF) akitoa nasaha fupi kwa washiriki

Bw. Simalenga Saimon mwakilishi kutoka Clauds Media Group akipokea tuzo ya uandishi wa kishujaa na utumishi uliotukuka ya Daudi Mwangosi 

Bw. Simalenga Saimon mwakilishi kutoka Clauds Media Group akipokea cheti cha tuzo ya uandishi wa kishujaa na utumishi uliotukuka ya Daudi Mwangosi 

Bw. Simalenga Saimon mwakilishi kutoka Clauds Media Group akipokea mfano wa hundi ya shilingi milioni kumi katika tuzo ya uandishi wa kishujaa na utumishi uliotukuka ya Daudi Mwangosi 

Mwakilishi wa Clauds Media Group Bw. Simalenga Saimon akitoa neno la shukrani 


Mwakilishi wa Clauds Media Group Bw. Saimon Semalenga katikati akiwa na Jopo la majaji wa tuzo ya uandishi wa kishujaa na utumishi uliotukuka ya Daudi Mwangosi 

Mwakilishi wa Clauds Media Group Bw. Saimon Semalenga akiwa na bodi ya utendaji ya umoja wa muungano wa klabu za waandishi wa habari Tanzania (UTPC)

Mwakilishi wa Clauds Media Group Bw. Saimon Semalenga akiwa na baadhi ya wageni waalikwa kwenye tuzo ya uandishi wa kishujaa na utumishi uliotukuka ya Daudi Mwangosi 

No comments:

Powered by Blogger.