Header Ads


ZIARA YA WAZIRI WA MAJI WILAYANI MKINGA

ENEO LA UTORO WA MAJI (SPILWAY ) KATIKA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA DODA WILAYANI MKINGA 

MKUU WA WILAYA YA MKINGA YONA MAKI AKISOAM TAARIFA KWA WAZIRI WA MAJI 


WAZIRI WA MAJI MHANDISI ISSACK KAMWELE AKIKAGUA UJENZI WA BWAWA LA MAJI DODA AMBAPO ALIAGIZA ,KANDARASI WA MRADI HUO KUANDIKIWA BARUA YA ONYO 



WAZIRI WA MAJI MHANDISI ISSACK KAMWELE AKIWA NA VIONGOZI WA WILAYA YA MKINGA 




MHANDISI WA MAJI WILAYA YA MKINGA M. NDUNGURU AKITOA MAELEZO KWA WAZIRI 


WAZIRI WA MAJI AKISISTIZA JAMBO WAKATI WA ZIARA YAKE WILAYANI MKINGA



BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI DUGA WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WAZIRI WA MAJI



ENEO LA DARAJA LA KINYATU WILAYANI MKINGA AMBALO LILIKUSUDIWA KUJENGWA CHANZO CHA MAJI

No comments:

Powered by Blogger.