Header Ads


NAIBU WAZIRI WA MAJI JUMAA AWESSO AFANYA ZIARA YA UKAGUZI MIRADI YA MAJI WILAYANI TANGA,MUHEZA NA PANGANI.




Mkuu wa wilaya Muheza Mhandisi. Mwanaasha Tumbo akimkaribisha Naibu Waziri wa maji Jumaa Awesso kuanza ukaguzi wa miradi ya maji 

Kaimu Mkurugenzi mamlaka ya maji Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi. Phares Aram akitoa maelezo kwa naibu waziri wa maji Jumaa Awesso kuhusu mradi ambao unalaza mabomba yenye urefu wa kilometa 16.9 kutoka Pongwe hadi Kitisa wilaya ya Muheza 






Naibu Waziri wa maji Jumaa Awesso akitoa maelekezo kwa mkandarasi wa kumpuni ya Koberge Construction Ltd Mhandisi.Stephen Lucas.
Baadhi ya miradi ya maji wilaya ya Muheza




Naibu Waziri wa maji Jumaa Awesso akitoa maelekezo kwa baadhi ya watumishi wa wilaya ya Muheza kusimamia miradi ya maji kwa umakini zaidi


Naibu Waziri wa maji Jumaa Awesso akiongea na wananchi wa Masaika Wilaya ya Pangani wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji.

baadhi ya wananchi wakimsikiliza Naibu waziri wa maji

Mto Pangani ambao Naibu waziri ameiagiza mamlakaya maji  jijini Tanga kuandaa andiko litakalowezesha matumizi ya maji ya mto huo katika wilaya za Pangani Muheza na Korogwe

Naibu Waziri wa maji Jumaa Awesso akikagua mradi wa maji kata ya kiguru simba wilaya ya Pangani

 

No comments:

Powered by Blogger.