Header Ads


UMMY ATOA MSAADA WA FUTARI KWA TAASISI ZA KULEA YATIMA NA VIJANA WALIOKATIKA MAZINGIRA MAGUMU

BAADHI YA VIONGOZI WA TAASISI  ZA KULEA YATIMA  KABLA YA KUKABIDHIWA MSAADA WA FUTARI NA WAZIRI WA AFYA 

WAZIRI WA AFYA MAENDELEO YA JAMII JINSIA WAZEE NA WATOTO  UMMY MWALIMU AKIZUNGUMZA KABLA YAKUTOA MSAADA HUO

SHEIKH SALIM BAWAZIR AKIKARIBISHA WAGENI KATIKA HAFLA HIYO



BAADHI YA VIONGOZI WA TAASISI ZINAZOLEA VIJANA NA YATIMA WAKIPOKEA MSAADA KUTOKA KWA MBUNGE VITI MAALUM JIMBO LA TANGA UMMY MWALIM AMBAYE PIA NI WAZIRI WA AFYA




USTAADHI ABDUL- SWAMAD MOHAMED WA TAASISI YA ZAHRAU AKISOMA DUA KATIKA HAFLA YA KUKABIDHI MSAADA




BAADHI YA MASHEIKH NA VIONGOZI  WA TAASISI  WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA TANGA UMMY MWALIMU AMBAYE PIA NI WAZIRI WA AFYA MAENDELEO YA JAMII JINSIA WAZEE NA WATOTO.

No comments:

Powered by Blogger.