Header Ads


HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI KUMI KWA WAJASIRIAMALI


Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza Bakari Mhando na mkurugenzi wa Halmashauri wakiwa katika hafla ya kukabidhi mikopo kwa vikundi vya wajasiriamali

baadhi ya watendaji na madiwani wakikatika hafla ya kukabidhi mikopo 


Add caption

Afisa maendeleo ya jamii Vije Mfaume akitoa maelezo kuhusu mikopo ya asilimia tano inayotolewa na halmashauri kupitia makusanyo ya mapato ya ndani 

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya muheza Luiza Mlelwa akizungumza kabla ya kumkaribisha mwenyekiti 


mwenyekiti wa halmashauri ya Muheza Bakari Mhando akito shlingi 50,000/ taslimu kwa kikundi cha akinamama kwa ili ziwasaidie kununua mafuta baada ya kupewa mkopo wa kununua pikipiki ya matairi matatu kwa ajili ya kuzoa taka  

Mbunge wa Jimbo la Muheza Balozi Adadi Rajab akizungumza katika hafla hiyo ambapo aliahidi kuwapa mifuko 10 ya saruji na trip moja ya mchanga kikundi cha vijana waliopewa mkopo wa mashine ya kfyatua matofali


Mkuu wa wilaya ya Muheza Mhandisi Mwanaasha Tumbo  akizungumza katika hafla hiyo




Kikundi cha vijana cha malihai ambacho kimekabidhiwa mkopo wa milioni tano kwa ajili ya kununua mashine ya kufyatua matofali

Kikundi cha akinamama cha Tutunze Mazingira kikipokea hundi kwa ajili ya kununua pikpiki ya tairi tatu kwa ajili ya shughuli za uzoaji wa  takataka

Add caption





No comments:

Powered by Blogger.