NAIBU WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI MHE. JUMAA AWESO AKIKAGUA UTEKLEZAJI WA MIRADI MBALIMBALI MKOANI RUKWA
![]() |
.Katika ziara yake mkoani
Rukwa, Naibu waziri wa maji na umwagiliaji Mhe.Aweso ametembelea ziwa
Tanganyika na hapo anasalimiana na Wakongo wanaosubiri Boti kuelekea kongo DRC Kupitia
Ziwa Tanganyika.
|
![]() |
Baada ya kutembelea mradi wa maji Kisula, Mhe.Aweso amezungumza
na wakazi wa eneo hilo na kupokea changamoto zao
|
![]() |
![]() |
Pia katika Ziara yake wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa,
MheAweso Ametembelea mradi wa maji Kisula na amejionea utendaji na maendeleo ya
mradi huo
|
![]() |
Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe.Aweso, ametembelea
mradi wa maji bwawa la kawa wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, na amejionea ujenzi na
miundombinu katika Bwawa hilo.
|
![]() |
Naibu waziri wa maji na umwagiliaji Mhe.Jumaa
aweso mkoani Rukwa, hapo akikagua mradi wa maji wa matanga kijiji cha kisumba. |
No comments: