Header Ads


NAIBU WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI MHE. JUMAA AWESO AKIKAGUA UTEKLEZAJI WA MIRADI MBALIMBALI MKOANI RUKWA

.Katika  ziara yake mkoani Rukwa, Naibu waziri wa maji na umwagiliaji Mhe.Aweso ametembelea ziwa Tanganyika na hapo anasalimiana na Wakongo wanaosubiri Boti kuelekea kongo DRC Kupitia Ziwa Tanganyika.



Baada ya kutembelea mradi wa maji Kisula, Mhe.Aweso amezungumza na wakazi wa eneo hilo na kupokea changamoto zao


Picha ya Pamoja, Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe. Aweso na wakazi wa Kisula wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa



Pia katika Ziara yake wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, MheAweso Ametembelea mradi wa maji Kisula na amejionea utendaji na maendeleo ya mradi huo


Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe.Aweso, ametembelea mradi wa maji bwawa la kawa wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, na amejionea ujenzi na miundombinu katika Bwawa hilo.



Naibu waziri wa maji na umwagiliaji Mhe. Jumaa Aweso mapema asubuhi ya leo amezungumza moja kwa moja na wakazi wa wilaya ya Sumbawanga kupitia chemchem Redio mkoani Rukwa kabla ya kuendelea na ziara yake mkoani humo.




Naibu waziri wa maji na umwagiliaji Mhe.Jumaa aweso
mkoani Rukwa, hapo akikagua mradi wa maji wa matanga kijiji cha kisumba.



No comments:

Powered by Blogger.