PICHA MBALIMBALI HAFLA YA KUKABIDHI GARI LA WAGONJWA, VITANDA. MAGODORO NA MASHUKA KATIKA KITUO CHA AFYA PONGWE
| WAZIRI WA AFYA MAENDELEO YA JAMII JINSIA WAZEE NA WATOTO UMMY MWALIMU AKIWA NA BAADHI YA WATUMISHI WA KITUO CHA AFYA PONGWE KATIKA HAFLA YA KUKABIDHI GARI LA WAGONJWA |
| KATIBU TAWALA WILAYA YA TANGA FAIDHA SALIM AKIZUNGUMZA WAKTI WA HAFLA YA KUKABIDHI GARI LA WAGONJWA VITANDA NA MASHUKA KATIKA KITUO CH AFYA PONGWE |
| MENEJA WA BOHARI YA DAWA MKOA WA TANGA MWANASHEHE |
| BAADHI YA WANANCHI NA WAFANYAKAZI WA KITUO CHA AFYA PONGWE |
| MWENYEKITI WA KAMATI YA ELIMU NA AFYA JIJI LA TANGA HABIBU MPA (KUSHOTO) AKISIKILAZA KWA MAKINI TAARIFA YA MGANGA WA JIJI HAYUPO PICHANI WAKATI WA HAFLA HIYO |
| MKUU WA WILAYA YA TANGA THOBIAS MWILAPWA AKIZUNGUMZA KATIKA HAFLA HIYO |
| WAZIRI AFYA MAENDELEO YA JAMII JINSIA WAZEE NA WATOTO UMMY MWALIMU AKIHUTUBIA WANANCHI WA PONGWE KABLA YA KUKABIDHI GARI LA WAGONJWA |
| WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU AKIKABIDHI VITANDA |
| WAZIRI UMMY AKIWA NDANI YA GARI LA WAGONJWA MARA BAADA YA KULIKABIDHI |
| MEYA WA JIJI LA TANGA MHINA MUSTAFA AKITOA SHUKURANI KATIKA HFLA HIYO |

No comments: