MATUKIO MBALIMBALI KATIKA TUZO YA UANDISHI WA KISHUJAA NA UTUMISHI ULIOTUKUKA YA DAUDI MWANGOSI
| Abubakar Karsan: Mkurugenzi mtendaji wa umoja wa muungano wa klabu za waandishi wa habari Tanzania(UTPC) |
| Deogratius Nsokolo:Rais wa umoja wa muungano wa klabu za waandishi wa habari Tanzania (UTPC) |
| Jenerali Ulimwengu:Mwenyekiti wa jopo la majaji wa tuzo ya Daud Mwangosi |
| Washiriki wa mkutano wa tuzo ya uandishi wa kishujaa na utumishi uliotukuka ya Daudi Mwangosi |
| Ernest Sungura: Mkurugenzi wa Tanzania Media Foundation (TMF) |
| Ernest Sungura: Mkurugenzi wa Tanzania Media Foundation (TMF) akitoa nasaha fupi kwa washiriki |
| Bw. Simalenga Saimon mwakilishi kutoka Clauds Media Group akipokea tuzo ya uandishi wa kishujaa na utumishi uliotukuka ya Daudi Mwangosi |
| Bw. Simalenga Saimon mwakilishi kutoka Clauds Media Group akipokea cheti cha tuzo ya uandishi wa kishujaa na utumishi uliotukuka ya Daudi Mwangosi |
| Bw. Simalenga Saimon mwakilishi kutoka Clauds Media Group akipokea mfano wa hundi ya shilingi milioni kumi katika tuzo ya uandishi wa kishujaa na utumishi uliotukuka ya Daudi Mwangosi |
| Mwakilishi wa Clauds Media Group Bw. Simalenga Saimon akitoa neno la shukrani |
| Mwakilishi wa Clauds Media Group Bw. Saimon Semalenga katikati akiwa na Jopo la majaji wa tuzo ya uandishi wa kishujaa na utumishi uliotukuka ya Daudi Mwangosi |
| Mwakilishi wa Clauds Media Group Bw. Saimon Semalenga akiwa na bodi ya utendaji ya umoja wa muungano wa klabu za waandishi wa habari Tanzania (UTPC) |
| Mwakilishi wa Clauds Media Group Bw. Saimon Semalenga akiwa na baadhi ya wageni waalikwa kwenye tuzo ya uandishi wa kishujaa na utumishi uliotukuka ya Daudi Mwangosi |

No comments: