WATER MISSION WAKABIDHI MRADI WA MAJI SAFI MKINGA AMBAO UMEGHARIMU( DOLA 88095) ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 198 ZATANZANIA
| NI NYUSO ZA FURAHA NA MATUMAINI YA KUPATA HUDUMA YA MAJI SAFI YA BOMBA |
| BAADHI YA WAFADHILI WA MRADI MAJI SAFI KUTOKA SHIRIKA LA e3 PARTNERS WALIHUDHURIA KATIKA HAFLA YA UZINDUZI HUO |
| BAADHI YA WANANCHI WA WILAYA YA MKINGA WALIOHUDHURIA KWENYE UZINDUZI WA MRADI WA MAJI SAFI ULIOFADHILIWA NA SHIRIKA LA E3 CHINI YA URATIBU WA SHIRIKA LA WATER MISSION |
| BAADHI YA WANAFUNZIWALIOJITOKEZA WAKATI WAUZINDUZI WA MRADI WA MAJI SAFI WILAYANI MKINGA |
| KAIMU MKURUGENZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA MICHAEL NDUNGURU AKIZUNGUMZA NA WAANDISHIWA HABARI WAKATI WA UZINDUZI WA MRADI WA MAJI SAFI AMBAO UMEGHARIMU SHILINGI MILIONI 198 |
| KISIMA CHA AWALI AMBACHO WANANCHI WALIKUA WAKITUMIA KABLA A KUZINDULIWA KWA MRADI MAJI SAFI YA BOMBA |
| ISACK ABDIEL MRATIBU WA SHIRIKA LA WATER MISSION TANZANIA AKIZUNGUMZA KATIKA HAFLA HIYO |
| MKURUGENZI MKAZI WA SHIRIKA LA e3 PARTNERS PAUL BUHWAHWA AKIZUNGUMZA WAKTI WA HAFLA YA MAKABIDHIANO YA MRADI WA MAJI SAFI MKINGA AMBAO UMEGHARIMU ZAIDI A SHILINGI MILIONI 198 |
| BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MKINGA LEO WALIOHUDHURIA HAFLA YA UZINDUZI WA MRADI WA MAJI SAFI |

No comments: